1 | Ofisi ya Rais (Utawala Bora) - Mathias Chikawe |
2 | Ofisi ya Rais – Mahusiano na Uratibu: Stephen Wassira |
3 | Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma Hawa Ghasia |
4 | Ofisi ya Makamu wa Rais – ( Muungano) Samia Suluhu |
5 | Ofisi ya Makamu wa Rais – (Mazingira) Dr. Terezya Luoga Hovisa |
6 | Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) - William Lukuvi |
7 | Uwekezaji na Uwezeshaji - Dr. Mary Nagu |
8 | Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) - George Huruma Mkuchika |
| Naibu 1: Aggrey Mwanri |
| Naibu 2: Kassim Majaliwa |
9 | Wizara ya Fedha - Mustapha Mkulo |
Naibu 1: Gregory Teu | |
Naibu 2: Pereira Ame Silima | |
10 | Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Shamsi Vuai Nahodha |
Naibu: Balozi Khamis Suedi Kagasheki | |
11 | Wizara ya Katiba na Sheria - Celina Kombani |
12 | Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa - Bernard K. Membe |
Naibu: Mahadhi Juma Mahadhi | |
13 | Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi |
14 | Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi - Dr. Mathayo David Mathayo |
Naibu: Benedict Ole Nangoro | |
15 | Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia - Prof. Makame Mnyaa Mbarawa |
Naibu: Charles Kitwanga | |
16 | Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Prof. Anna Tibaijuka |
Naibu: Goodluck Ole Madeye | |
17 | 14. Wizara ya Maliasili na Utalii - Ezekiel Maige |
18 | Wizara ya Nishati na Madini - William Mganga Ngeleja |
2. Adam Kigoma Malima | |
19 | Wizara ya Ujenzi - Dr. John Pombe Magufuli |
Naibu: Dr. Harrison Mwakyembe | |
20 | Wizara ya Uchukuzi - Omari Nundu |
Naibu: Athumani Mfutakamba | |
21 | Wizara ya Viwanda na Biashara - Dr. Cyril Chami |
Naibu: Lazaro Nyalandu | |
22 | Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Dr. Shukuru Kawambwa |
Naibu: Philipo Mulugo | |
23 | Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii - Dr. Haji Hussein Mpanda |
Naibu: Dr. Lucy Nkya | |
24 | Wizara ya Kazi na Ajira - Gaudensia Kabaka |
2. Makongoro Mahanga | |
25 | Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Sophia Simba |
2. Umi Ali Mwalimu | |
26 | Wizara ya Habari, Vijana na Michezo - Emmanuel John Nchimbi |
Naibu: Dr. Fenella Mukangara | |
27 | Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samuel John Sitta |
Naibu Dr. Abdallah Juma Abdallah | |
28 | Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika - Prof. Jumanne Maghembe |
Naibu: Christopher Chiza | |
29 | Wizara ya Maji - Prof. Mark James Mwandosya |
Naibu - Gerson Lwinge |
Breaking Nyuuuuzzzzzzzzzz.....
IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII:
Baraza la Mawaziri Hili Hapa...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment