Mawaziri Hawa Wanajaribu Kuipa Nchi Hadhi Yake

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
Kitendo cha baadhi ya Mawaziri wa Serikali ya JK ambao wametoa kauli za utendaji mara baada ya kuapishwa zimechukuliwa na wananchi kama ni kitanzi kwao endapo maelekezo yao hayatakamilika, Risasi Mchanganyiko linashuka kikamilifu.

Mawaziri ambao wapo katika subira ya wananchi kufuatia kauli zao ni wale ambao wameshaongea na vyombo mbalimbali vya habari na kudos maonyo au maelekezo kuhusu wajibu wa wizara walizoteuliwa kuzitendea kazi.

Waziri John Magufuli.

0 comments: