Baada ya kutoa nyaraka za siri zaidi ya elfu kumi kuhusu Marekani, Interpool yatoa waranti ya kumkamata mmiliki wa Wikileaks

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter


Mmiliki mtandao wa Wikileaks Julian Assange.Mmiliki mtandao wa Wikileaks Julian Assange.

Polisi ya kimataifa Interpol imemtaja Julian Assange mmiliki wa mtandao wa Wikileaks kuwa miongoni mwa watu wakuu inayowasaka. Waranti ya kukamtwa kwa Assange iliyotolewa na Interpol ina maana kwamba huenda Assange akakamatwa kokote. Hapo awali mmiliki huyo wa Wikileaks alikata rufaa dhidi ya amri ya kukamtwa kwake iliyotolewa na Sweden kwa kumtuhumu kwa ubakaji.

Ukurasa katika mtandao wa Wikileaks.Ukurasa katika mtandao wa Wikileaks.















                                                   Endelea kusoma habari hii

0 comments: