Alichokosea Zitto Zuberi Kabwe ni Hichi

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
Rais mstaafu wa Afrika ya Kusini, Nelson Mandela aliandika kitabu chake cha kwanza akielezea maisha yake tangu akiwa wakili hadi alipotoka gerezani kiitwacho “A long walk to freedom”. Waliokisoma watakubaliana na hoja yangu ninayoijenga hapa.

Mandela anaeleza kwamba alipokuwa gerezani kisiwani Robin vuguvugu mle jela lilikuwa likiendelea na ilifika mahala wafungwa walikuwa wakikubaliana ni aina gani ya mgomo wataufanya.

Mara nyingi walikuwa wanaishia kugoma kula (hunger strike). Lakini Mandela anaeleza kuwa binafsi hakuwa anaipenda migomo ya kula. Hivyo kila lilipoletwa wazo la kugoma kula Mandela alikuwa kwenye upande wa waliopinga wazo lile na mara zote ilibidi wafikie muafaka kwa kupiga kura. Kwamba tugome kula au tusigome.

Mandela anaeleza kuwa siku zote wenye wazo la kugoma kula walishinda kwa wingi wa kura.  Endelea kusoma habari hii
                    

0 comments: