Breaking Nyuuuuzzzzzzzzzz.....Jumla ya Mawaziri 50 watangazwa

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter

Sitta waziri wa Ushirikiano wa Africa Mashari, Nahonda waziri wa Mambo ya Ndani, Mama Kabaka Waziri wa Kazi na Ajira, Magufuli waziri wa Ujenzi, naibu wake Mwakiyembe. Fedha Mkullo na Nje Membe

1
Ofisi ya Rais (Utawala Bora) - Mathias Chikawe
2
Ofisi ya Rais – Mahusiano na Uratibu: Stephen Wassira
3
Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma Hawa Ghasia
4
Ofisi ya Makamu wa Rais – ( Muungano) Samia Suluhu
5
Ofisi ya Makamu wa Rais – (Mazingira) Dr. Terezya Luoga Hovisa
6
Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) - William Lukuvi
7
Uwekezaji na Uwezeshaji - Dr. Mary Nagu
8
Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) - George Huruma Mkuchika

Naibu 1: Aggrey Mwanri

Naibu 2: Kassim Majaliwa
9
Wizara ya Fedha - Mustapha Mkulo
Naibu 1: Gregory Teu
Naibu 2: Pereira Ame Silima
10
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Shamsi Vuai Nahodha
Naibu: Balozi Khamis Suedi Kagasheki
11
Wizara ya Katiba na Sheria - Celina Kombani
12
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa - Bernard K. Membe
Naibu: Mahadhi Juma Mahadhi
13
Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi
Endelea. Bofya hapa

0 comments: