Mzozo umekwisha Zimbabwe - Zuma

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter


Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amesema amesaidia kumaliza mvutano kati ya viongozi mahasimu wa Zimbabwe, baada ya kufanya ziara mjini Harare siku ya Ijumaa.
Zimbabwe
Mugabe na Tsvangirai
Bw Zuma amesema mzozo kati ya Rais Robert Mugabe na Waziri Mkuu Morgan Tsvangirai umemalizika, baada ya saa nne za majadiliano.
Lakini wachambuzi wa masuala ya kisiasa wanaonya kuwa mazungumzo haya huenda yasilete matokeo ya mara moja.

0 comments: